Ligi Kuu ya Uingereza itaendelea wikiendi hii kwa michezo ya mzunguko wa 33 inayochezwa kwenye viwanja mbalimbani tofauti nchini humo.
Kila timu inaonyesha kujiandaa kufanya vizuri katika kuhakikisha inapata matokeo mazuri ili kujiweka kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi hiyo yenye ushindani wa hali ya juu sana msimu huu.
Chelsea bado wanashikilia usukani wa Ligi wakiwa na pointi 73 huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi wakifuatiwa na Arsenal wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 66 wakati Leicester City wakiendelea kushika mkia kwa kuwa na pointi 25.
Ifuatayo ni ratiba ya michezo yote ya EPL ya wikiendi hii:
| Muda | Mwenyeji | Matokeo | Mgeni |
| Jumamosi | |||
| 17:00 | Crystal Palace | vs | West Bromwich Albion |
| 17:00 | Everton | vs | Burnley |
| 17:00 | Leicester City | vs | Swansea City |
| 17:00 | Stoke City | vs | Southampton |
| 19:30 | Chelsea | vs | Manchester United |
| Jumapili | |||
| 15:30 | Manchester City | vs | West Ham United |
| 18:00 | Newcastle United | vs | Tottenham Hotspur |


Post a Comment