Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na
mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka
jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama
sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea mwenge kwenda posta nilijikuta
nimefika posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta
nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata
kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.
Loading...
Home
» Burudani
» Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza Hadi Kituo Kisa Nimeona Mwanamke Mwenye Kalio Kubwa Ndani ya Dalala..Ushauri
Popular Posts
-
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm, amejigamba kikosi chake ni kipana na kinaweza kupambana kwenye mazingira tofauti iwe kwen...
-
Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kuweka picha ya mlimbw...
-
NI laana! Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili. Ba...



Post a Comment