Mungu
anajibu maombi kiukweli... Hakuna siku nilioacha kumuomba na asijibu...
Asipojibu najua wazi haikua riziki yangu ndo mana haijafanikiwa..Na
mwisho unionesha wazi ili niamini haikua riziki yangu...Na nina amini
wazi km Mungu akipanga chake mwanadam hawezi ata akeshe anaomba yaani
siku zote Mungu usimama kwenye ukweli na kutetea mtu pasipo
kujua....Mungu wacha leo niseme miujiza ulionitendea kwa sababu
umenitendea km nilivyokuomba🙏Nimeanza kumpenda Wolper kitaaaambo kiasi
cha kwamba nikiona magazeti yamemuandika naumiaaa na natamani ningekua
na uwezo niyanunue magazeti yote nichome moto...lakini ktk siku zote
hizo sikuwahi kuwaza hata siku moja km ntakuja kumuona au kuongea na
Wolper hata kwenye simu... Ila nilikua namuomba Mungu kabla sijafa
nipate ata sekunde ya kusema nae na ata nikishindwa kusema nimuone hata
sura tu ndo nife... lakini ktk mawazo yangu nilikua naamini Mungu si
kiziwi wala kipofu cz nilikua real naupendo wangu.... Allahmdulilah
ikaja insta nikaweza kuongea nae nikamuelezea jinsi gani nampenda na
akanielewa... Hapo ndo niliona kuwa Mungu anajibu na yupo... Nikasema
kwakuwa nilikujua humu insta basi pia nitamuonesha upendo wangu humu
humu insta nikafungua fanpage ☺Fanpage ndo mpk leo na milele.... watu
walinigombanisha na wolper but nililia na Mungu mpk akaonesha kuwa mm si
km walivyodhani.... Sasa leo naweka wazi sijaunganishwa na mtu yoyote
na wolper bali ni Mungu amenikutanisha nae na kwakuwa yeye ndo
amenikutanisha nae naamini yeye ndo atanitenganisha nae km watu
walishashindwa... Nasema wazi ata nikija kutokua nae karibu au sijui vp
nitaendelea kumpenda na kuumia kwa wale watakao nilizia malkia wangu....
Nampnda sana najua anajua... yaaani i love her to death yani me sijui
kipi kitaniacha nae she's my happiness yani uwepo wake unachangia nilale
vizuri na nizidi kunenepa 😜😝...Ni hayo tu niwatakie usiku mwema
Loading...
JE WAJUA NI KIPI ALICHOKISEMA WOLPER JUU YA MAISHA YAKE MAPYA? Endelea hapa
Mungu
anajibu maombi kiukweli... Hakuna siku nilioacha kumuomba na asijibu...
Asipojibu najua wazi haikua riziki yangu ndo mana haijafanikiwa..Na
mwisho unionesha wazi ili niamini haikua riziki yangu...Na nina amini
wazi km Mungu akipanga chake mwanadam hawezi ata akeshe anaomba yaani
siku zote Mungu usimama kwenye ukweli na kutetea mtu pasipo
kujua....Mungu wacha leo niseme miujiza ulionitendea kwa sababu
umenitendea km nilivyokuomba🙏Nimeanza kumpenda Wolper kitaaaambo kiasi
cha kwamba nikiona magazeti yamemuandika naumiaaa na natamani ningekua
na uwezo niyanunue magazeti yote nichome moto...lakini ktk siku zote
hizo sikuwahi kuwaza hata siku moja km ntakuja kumuona au kuongea na
Wolper hata kwenye simu... Ila nilikua namuomba Mungu kabla sijafa
nipate ata sekunde ya kusema nae na ata nikishindwa kusema nimuone hata
sura tu ndo nife... lakini ktk mawazo yangu nilikua naamini Mungu si
kiziwi wala kipofu cz nilikua real naupendo wangu.... Allahmdulilah
ikaja insta nikaweza kuongea nae nikamuelezea jinsi gani nampenda na
akanielewa... Hapo ndo niliona kuwa Mungu anajibu na yupo... Nikasema
kwakuwa nilikujua humu insta basi pia nitamuonesha upendo wangu humu
humu insta nikafungua fanpage ☺Fanpage ndo mpk leo na milele.... watu
walinigombanisha na wolper but nililia na Mungu mpk akaonesha kuwa mm si
km walivyodhani.... Sasa leo naweka wazi sijaunganishwa na mtu yoyote
na wolper bali ni Mungu amenikutanisha nae na kwakuwa yeye ndo
amenikutanisha nae naamini yeye ndo atanitenganisha nae km watu
walishashindwa... Nasema wazi ata nikija kutokua nae karibu au sijui vp
nitaendelea kumpenda na kuumia kwa wale watakao nilizia malkia wangu....
Nampnda sana najua anajua... yaaani i love her to death yani me sijui
kipi kitaniacha nae she's my happiness yani uwepo wake unachangia nilale
vizuri na nizidi kunenepa 😜😝...Ni hayo tu niwatakie usiku mwema
Popular Posts
-
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm, amejigamba kikosi chake ni kipana na kinaweza kupambana kwenye mazingira tofauti iwe kwen...
-
Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kuweka picha ya mlimbw...
-
NI laana! Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili. Ba...


Post a Comment