Featured
Loading...

Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...

kuwa ameachana na WemaSepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoana Meninah Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa. “Unajua hizi habari kiukweli zimekuwazikinihuzunisha sana,” amesema msanii huyo.“Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendikuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti huwasipendi kuzungumzia kabisa, kwa kuwa najua kabisasiwezi kubishana na media kwakuwa media nikubwa, maana najua utaongea na huyu na yule siku ya siku utagombana na watu. Ndio maana huwanakaa kimya,” ameongeza “Kusema ukweli hili suala limekuwa likiniumiza ‘etisijui kuna vikao vya harusi mie nataka kumuoaMeninah’ Kusema ukweli sina mahusiano na Meninah. Kila mtu anajua mie nina mahisiano Wema. Wema ndo mpenzi wangu, ila wakatimwingine nakuwa naelewa ile inakuwa ni trick yakibiashara. Mtu anajua hata nikimuandika vipi‘Diamond sijui kafanya nini watu hawawezikumchukia! Kwahiyo wanaamua kunitengenezeachuki na maadui kwa watu kuwa nipo namwanamke wangu halafu namsaliti.”Meninah “Unajua kitendo hicho hatamaye kinaniudhi naona mtu yupo na mpenzi wake halafu anamsaliti. Najuahicho ni kitendo ambacho kila mtu hakimpendezi.Kwahiyo wanaamua kunitengenezea chuki namaadui kupitia njia hiyo. Labda wana wasanii wao,sasa wanaona tukiingia kwa njia hii tutawezakuamharibia Diamond. Ndioa siku zote nimekuwakimya tu ila sina mahusiano na Meninah. Mie nikiwana mtu huwa sifichi naweka wazi kabisa. Hata kamaleo nimeachana na Wema nasema tu, why nifiche?Mie katika mambo yangu huwa simuogopi mtu kamaningekuwa nataka kuoa basi ninge weka wazi why nifiche??

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts

Popular Posts

© Copyright Right Vision Blog | Designed By Code Nirvana
Back To Top