SERIKALI imesema ajira za walimu wapya zitaanza rasmi Mei Mosi, mwaka
huu huku ikiweka wazi kuwa walimu hao wasitegemee kupangiwa katika
maeneo ya majiji, manispaa na miji.
Chanzo habarileo
SERIKALI imesema ajira za walimu wapya zitaanza rasmi Mei Mosi, mwaka
huu huku ikiweka wazi kuwa walimu hao wasitegemee kupangiwa katika
maeneo ya majiji, manispaa na miji.
Post a Comment